
Habari kutoka kwenye ofisi ya DPP na Taasisi ya Kupambana na Kuzuia Rushwa (Takukuru) zinasema vielelezo vilivyowasilishwa havikuwa na nguvu za kumfikisha Karamagi mbele ya mkono wa sheria.
Kwa mujibu wa vyanzo hivyo, maoni ya ofisi ya DPP ni kwamba mbunge huyo wa Bukoba Vijijini alifuata ushauri wa watalaam kusaini mkataba huo, licha ya kwamba tarehe ambayo alipokea ushauri huo ndiyo aliyosafiri kwenda London, Uingereza kusaini mkataba huo.
No comments:
Post a Comment