Friday, November 21, 2008

Katibu wa Vyuo Vikuu kizimbani

Katibu Mkuu wa chama cha wanafunzi wa vyuo vikuu nchini, Bw. Julius Mtatiro akiwa kizimbani kwa tuhuma zinazomkabili za kuhamasisha mgomo katika Chuo Kikuu Dar es Salaam, chama wanafunzi wa shuleni hapo 'DARUSO' kimenyetisha kuwa jamaa amewekewa dhamana mpaka kesi yake itakapotajwa tena Dec. 2 mwaka huu.

No comments: