Baada ya kutangazwa Ushindi wa Obama..
Raisi mtarajiwa wa Marekani Bw. Barack Obama na Mke wake Michelle Obama wakiondoka ktk mkutano wa kutoa shukurani zao kwa wapiga kura wa Chicago kwa kufanikisha ushindi wa chama chake katika jiji hilo..
Mama huyu wa jiji la New York akilia katika kule kutoamini kama kweli Obama ameibuka kidedea..
Mamia ya wafuasi wa Bw. Obama wakipigwa na Butwaa huku wengine wakiwa na furaha kwa kutoamini ushindi wa mgombea wao..
No comments:
Post a Comment