Tuesday, November 4, 2008

Habari Iliyovunjika (Breaking News)

Habari zilizojiri, zinahabarisha kuwa Bibi wa mgombea urais wa Marekani 'Barack Obama' amefariki ikiwa ni siku moja kabla ya uchaguzi wa nchi hiyo, Madelyn Dunham, 86, alikuwa akiugua kansa, Bibi huyo ndio uliokuwa mhimili wa maisha ya utotoni ya Bw. Obama mpaka alipofikia sasa. bonyeza hapa kwa habari zaidi

No comments: