Serikali ya awamu ya nne, imeamua kuachana na magari iliyotumia kwa muda mrefu ya Marcedes Benz na sasa inatumia magari mengine ya kifahari ya BMW kwa ajili ya msafara wa rais.
Mercedes Benz, gari ya kifahari inayotengenezwa nchini Ujerumani, imekuwa ikitumiwa na serikali zote tatu zilizopita zilizoongozwa na Mwalimu Julius K. Nyerere, Ali Hassan Mwinyi na Benjamin Mkapa. Gari iliyotumika mwanzoni mara baada ya kupata uhuru ilikuwa Rolls Royce.
Lakini kwa sasa, msafara wa Rais unapambwa na magari matano ya BMW, mawili yakiwa ni X 5, ambayo ni mithili ya Toyota VX kwa ukubwa na matatu yakiwa Series Seven
Chini ni mifano ya gari hizo..
Chini ni mifano ya gari hizo..
No comments:
Post a Comment