Kupitia hapa utaweza kupata Habari mbalimbali zikiwemo za Siasa, Michezo, Biashara, Dini, Mapenzi, Afya, Mazingira na mambo mengi yanayomzunguka mwanadamu.
Friday, November 21, 2008
Baada ya Obama sasa ni Eric Holder
Vyombo mbambali vya habari nchini Marekani vimeripoti kuwa raisi mteule wa Marekani Bw. Barack Obama amempendekeza Bw. Eric Holder kuwa waziri wa ulinzi wa taifa hilo, Bw. huyo (Eric Holder) alikuwa makamu waziri wa ulinzi wakati wa kipindi cha Rais Bill Clinton, Na endapo atachaguliwa na kuapishwa na bunge la nchi hiyo, Eric Holder aliye na rekodi nzuri katika nyadhifa nyingi alizowahi kushikilia, atakuwa ndio m-marekani mweusi wa kwanza kuwa waziri wa Ulinzi wa Taifa hilo lililo na nguvu kubwa kiuchumi Duniani.
No comments:
Post a Comment