
Vitisho dhidi ya raisi mteule wa Marekani bwana Barack Obama vimeripotiwa kuzidi kuongezeka tangu aibuke mshindi katika kinyang'anyiro hicho kilichofanyika Novemba 4 mwaka huu, Ingawa vyombo vya usalama wa viongozi havikubainisha idadi ya kesi zinahozusu vitisho hivyo, Taarifa zilizopo kutoka ndani ya vyombo hivyo zinaeleza kuwa wamekuwa akigundua mipango mingi kupitia maandishi na barua pepe! Wana usalama hao pia wamedai kugundua mambo mengine ambayo yamekuwa yakitoa maelekezo kuhusu mipango michafu dhidi ya Obama tofauti na viongozi waliotangulia..
Aidha vyombo vya habari vya Merekani vimesema kuwa Raisi huyo mteule amekuwa na mkutano na aliyekuwa hasimu wake ktk kinyang'anyiro cha kuwania kuteuliwa kuwa mgombea nafasi ya Urais kwa tiketi ya chama cha Demokratik, Hillary Clinton, akitaka kumteuwa katika wadhifa wa ngazi ya juu katika utawala wake.
Aidha vyombo vya habari vya Merekani vimesema kuwa Raisi huyo mteule amekuwa na mkutano na aliyekuwa hasimu wake ktk kinyang'anyiro cha kuwania kuteuliwa kuwa mgombea nafasi ya Urais kwa tiketi ya chama cha Demokratik, Hillary Clinton, akitaka kumteuwa katika wadhifa wa ngazi ya juu katika utawala wake.
No comments:
Post a Comment