Tuesday, November 11, 2008

TID akata Rufaa

Mwanamuziki wa kizazi kipya T.I.D ambaye hivi karibuni imetoa singo yake mpya iliyo na ujumbe mzito inayoenda kwa jina la 'SIWEZI' hatimaye ameamua kukata rufaa kuhusiana na kesi inayomkabili, Khalid Mohamed a.k.a T.I.D leo asubuhi ametinga mahakamani kueleza adhma yake ya kutaka kukata rufaa kutokana na kifungo cha mwaka mmoja alichohukumiwa yapata miezi minne iliyopita.

No comments: