Monday, November 3, 2008

Mambo ya 'EXTREME PARTY'

Chidi Benz na Mr Blue wakikamua katika Extreme Party..

Msanii Cindy kutoka Uganda naye alikuwepo katika kuweka mambo sawa, Cindy ni mmoja kati wasanii wa Kundi la Blu 3 lililotamba sana Afrika ya Mashariki.


Dj Bush Baby akisugua mambo yake kama kawaida, hii ni katika Tigo Extreme Party iliyofanyika ndani ya fukwe CINE CLUB.

No comments: