
Shindano la Big Brother Africa III limemalizika usiku wa kuamkia leo huko Afrika Kusini ambapo kijana Ricardo David Ferreira Venancio a.k.a Ricco kutoka Angola, (21) ndio mshindi wa shindano la mwaka huu.
Tofauti na mashindano mengine, shindano la mwaka huu lilibidi liamuliwe kwa kutafuta asilimia ya jumla ya kura zote zilizopigwa mwaka huu baada ya Ricco kufungana na binti kutoka Malawi, Hazel(25)
Tofauti na mashindano mengine, shindano la mwaka huu lilibidi liamuliwe kwa kutafuta asilimia ya jumla ya kura zote zilizopigwa mwaka huu baada ya Ricco kufungana na binti kutoka Malawi, Hazel(25)
No comments:
Post a Comment