Sunday, November 16, 2008

Kaseba amchapa King Unishiro

Bingwa wa ligi ya ngumi inayojulikana kama 'K1' Japhet Kaseba, Amewasili jana akitokea nchini Japa, Japhet alimchapa mpinzani/mwenyeji wake mjapani King Unishiro katika pambano lililofanyika nchini humo.

No comments: