Kupitia hapa utaweza kupata Habari mbalimbali zikiwemo za Siasa, Michezo, Biashara, Dini, Mapenzi, Afya, Mazingira na mambo mengi yanayomzunguka mwanadamu.
Sunday, November 16, 2008
Kaseba amchapa King Unishiro
Bingwa wa ligi ya ngumi inayojulikana kama 'K1' Japhet Kaseba, Amewasili jana akitokea nchini Japa, Japhet alimchapa mpinzani/mwenyeji wake mjapani King Unishiro katika pambano lililofanyika nchini humo.
No comments:
Post a Comment