Kupitia hapa utaweza kupata Habari mbalimbali zikiwemo za Siasa, Michezo, Biashara, Dini, Mapenzi, Afya, Mazingira na mambo mengi yanayomzunguka mwanadamu.
Wednesday, October 29, 2008
Wahariri waandamana Dar
Baadhi ya wahariri wa vyombo vya habari wameandamana jijini Dar es salaam, maandamano hayo yalianzia mtaa wa Lugoda na kuelekea wizara ya habari utamaduni na michezo, ambako walikabidhi barua kwa Waziri wa wizara hiyo Mh George Mkuchika, aidha madhumuni ya maandamano hayo yalikuwa ni kupinga kufungiwa kwa gazeti la mwanahalisi na serikali kwa muda wa miezi 3 na pia kuishinikiza serikali ifanye marekebisho ya sheria ya uhuru wa vyombo vya habari ya mwaka 1976.
No comments:
Post a Comment