Mechi kali kati ya watani wajadi, Simba na Yanga imekwisha na matokeo ni kwamba Simba imelimwa bao 1-0 lililofungwa na Ben Mwalala katika Dk. 16. Pambano hilo lililofanyika kwa mara ya kwanza kwenye uwanja mpya wa kisasa jijini Dar es salaa na lilitawaliwa na ubabe miongoni mwa wachezaji ambapo refa alilazimika kutoa jumla ya kadi nyekundu 3, mbili kwa Simba, moja kwa Yanga..
Monday, October 27, 2008
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment