Sunday, October 26, 2008

KLM wazindua Boeing 777


Shirika la Ndege la KLM la uholanzi, leo linatambulisha yake ndege aina ya Boeing 777 inayotarajiwa kutua usiku huu tayari kwa kuanza safari zake kupitia Dar, utambulisho huu umepambwa na kikundi cha ngoma cha Steel of Heaven (Mapipa ya Mbinguni) cha Kurasini kilichoonyesha umahiri wa kupiga nyimbo mbalimbali maarufu hapa nchini wakitumia mapipa.. Pichani ni mfano wa ndege hiyo ambayo imeshatambulishwa nchi nyingi za bara Ulaya, Sherehe hizo zilifanyika katika Uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Nyerere (JNIA)

No comments: