
Mmoja wa wachekeshaji wa Marekani mwenye asili ya kiafrika, Rudy ray Moore amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 81 baada ya kusumbuliwa kwa muda mrefu na ugonjwa wa kisukari. Ruudy Moore ambaye pia anafahamika kama baba wa muziki wa rap nchini humo, aliwahi kutamba katika vichekesho na muziki wa rap mwanzoni mwa miaka ya 1970. baadi ya vipindi vya vichekesho vilivyowaahi kutamba ni pamoja na Delomite, The human Tornado, Money Hustler, The devil's son in Law na Petey Wheatstraw, Moore alizaliwa Machi 17 mwaka 1927, kabla ya kugeukia mziki awali alikuwa Mwanajeshi..
Mungu ailaze Roho Rudy mahali pema peponi... Amen
Mungu ailaze Roho Rudy mahali pema peponi... Amen
No comments:
Post a Comment