Sunday, October 26, 2008

Msafara wa Fiesta Jirambe Moro

Wasanii mbalimbali walioko kwenye msafara wa tamasha la Fiesta 'JIRAMBE' kwa kushirikiana na waandaji wake Prime Time Promotions na Clouds Fm walikwenda kutoa msaada wa vyakula kwenye kambi ya Walemavu pamoja na wazee wasiojiweza kiitwacho funga funga kilichopo kota za reli Morogoro . Pichani ni mkuu wa msafara huo Bw. Cosmo ambaye ni mtangazai wa Clouds fm kupitia kipindi cha reggae kinachorushwa kila siku ya Ijumaa usiku akijitambulisha mbele ya wazee hao (hawako pichani) pamoja na wageni wasanii alioongozana nao.

No comments: