Sunday, October 26, 2008

'College Bash' ilivyopagawisha

Usiku wa kuamkia leo latika Viwanja vya Leaders Club jijini Dar es Salaam, kulikuwa na Tamasha la Muziki lililojumuisha wanafunzi wa vyuo mbalimbali al maarufu kama 'College Bash' ambapo wasanii mbalimbali kutoka nchi jirani za Kenya, Uganda na hapa nchini walikonga nyoyo za mashabiki wao ipasavyo.

Ambwene Yesaya maarufu kama AY aliweza kuwakimbiza mchakamchaka wasanii waalikwa..

Mrembo akipiga mwereka mbele ya Msanii Nameless kutoka Kenya ktk harakati za kumsapoti..

Lord Eyez wa Nako 2 Nako akifanya makamuzi jukwaani, Msaani huyu na kundi lao walibamba vilivyo madenti waliofurika ukumbini humo..

No comments: