Usiku wa kuamkia leo latika Viwanja vya Leaders Club jijini Dar es Salaam, kulikuwa na Tamasha la Muziki lililojumuisha wanafunzi wa vyuo mbalimbali al maarufu kama 'College Bash' ambapo wasanii mbalimbali kutoka nchi jirani za Kenya, Uganda na hapa nchini walikonga nyoyo za mashabiki wao ipasavyo.
Sunday, October 26, 2008
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment