Friday, October 31, 2008

Mrithi wa Chacha Wangwe Aapishwa Bungeni


Bw. Mwera Nyanguru aliyeshinda kiti cha Ubunge wa wilaya ya Tarime kupitia tiketi ya chama cha Chadema, akiapa bungeni kuendelea na nafasi iliyoachwa na marehemu Chacha Zacharia Wangwe..

No comments: