Wednesday, October 29, 2008

Nyamaza...

Kama muwaonavyo wanamsafara wa Fiesta jirambe, wakiwa ktk moja ya pozi zao katika Picha.. Msafara huo kwa sasa unaelekea Mwanza 'Rock City' ambako kutawaka moto si wakitoto, kwani kutakuwa na wasanii wengi kuliko mikoa mingine iliyowahi iliyopitiwa na Msafara huo unaozunguka karibu nchi nzima ktk kuendeleza ule utamaduni wa wasanii...

No comments: