Wednesday, October 29, 2008

Fiesta Jirambe ndani ya Dom

Halikuwa jambo la Ajabu kushudia kila mtu akijiramba kwa staili yake, hapa jamaa akichumpa kutoka jukwaani..

Wakazi wa Dom walifurika kama uonavyo katika kujiramba kwa nafasi.. Hii ni sehemu tu ya Umati wa raia waliofurika katika Viwanja vya Jamhuri kushuhudia ma mambo ya Fiesta 'Jirambe'
Tamasha la fiesta jirambe 2008 lilivyokuwa pande ya wakazi wa Dodoma, wakazi wa Dodoma wanajua kujiramba ile kisawa sawa, jana jirambe ilikuwa inafanyika ndani ya uwanja wa mpira wa Jamhuri, wasanii chipukizi walianza kupanda jukwaani kuanzia majira ya saa sita na kitu hivi na baadaye wakongwe waakaanza kuwarambisha madude havi wakazi wa Dom, palikuwa hapatoshi uwanjani hapo. Pichani kama uonavyo umati wa wakazi wa Dodoma ulivyoamua kujiramba kwa staili ya aina yake..

No comments: