Sunday, October 26, 2008

Mambo ya Fiesta 'Jirambe'

Qchila nae akikamua vilivyo mbele ya wakazi wa Moro,Chila bila hiyana aliutambulisha wimbo wake mpya kabisa uitwao Paparazi ambao ulionekana kuwakuna mno washabiki waliotinga ukumbini humo


Pichani ni wasanii wa Nyumba ya Vipaji Tanzania maarufu kama THT au kwa kirefu Tanzania House of Talent wakiwa jukwaani kwenye tamasha la Fiesta Jirambe 2008.

No comments: