
Waziri wa Nishati na Madini Mh. William Ngeleja amekabidhi Mradi wa umeme uliopo kijiji cha Salasala uliojengwa chini ya mradi wa uendelezaji wa gesi ya asili ya Songosongo sherehe hiyo iliambatana na kukabidhi miradi mingine waliyoijenga ambayo ni maji, barabara na simu, katika maeneo ya Salasala na Kinyerezi. Hafla hiyo ilifanyika maeneo ya Salasala nje kidogo ya jiji la Dar, Aidha Wilaya hiyo imejengewa barabara tano za lami zenye urefu wa kilomita sita na nusu.
No comments:
Post a Comment