Afisa Uhusiano wa Tigo akitangaza mpambano wa DJ's na wasanii wa Afrika Mashariki utakaojulikana kwa jina la Xtreme Party mpambano huo unatarajiwa kufanyika katika fukwe za Cine Club maalum kwa wateja wa kudumu wa Tigo kuanza kufurahia mwisho mzuri wa mwaka 2008.
Wednesday, October 29, 2008
Tigo na Xtreme Party
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment