Wednesday, October 29, 2008

Tigo na Xtreme Party


Afisa Uhusiano wa Tigo akitangaza mpambano wa DJ's na wasanii wa Afrika Mashariki utakaojulikana kwa jina la Xtreme Party mpambano huo unatarajiwa kufanyika katika fukwe za Cine Club maalum kwa wateja wa kudumu wa Tigo kuanza kufurahia mwisho mzuri wa mwaka 2008.

Kushoto kwake ni msanii wa Bongo flava Herry Sameer (Mr Blue) na Ruta Bushoke watakaoshiriki kuiwakilisha Tanzania. wasanii wengine watakaoshiriki mpambano huo ni kundi zima la P Unit kutoka Kenya na aliyekuwa muimbaji wa kundi la Blue 3 mwanadada Cindy nani atakaeibuka XTREME. Kwa mpambano wa DJ' atakuwepo Bush Baby na Wesley kutoka Kenya.

No comments: