Friday, December 12, 2008

TID kubadili Jina..

Msanii nguli wa muziki wa kizazi kipya hapa Tanzania, Khaleed Mohamed 'Top In Dar' a.k.a TID amechukua uamuzi huu baada ya kutoka gerezani katikati ya wiki hii kutokana na msamaha wa Rais JK, Kwa sasa msanii huyo ataanza kutambulika kwa jina la Prison Voices.
Pichani juu ni TID akiwa katika moja ya matamasha yake aliyowahi kufanya akiwa nje ya nchi..
I wish U all the Best Home boy..

Wednesday, December 10, 2008

Makamuzi ya EVE na FAT JOE ndani ya Bongo 'Likizo Tym'

Miili nyumba walikuwa na kazi ya ziada kwani mwanadafada Eve alikuwa hakamatiki kwa kujichanganya na mashabiki kila mzuka unapompanda, Hii nadhani ni baada ya kuona kila upande umejaa ngozi yenye rangi yake ya asili..


Mtu mkubwa kutoka Terror Squad, FAT JOE! akishambulia jukwaa ndani ya viwanja vya Gymkhana jijini Dar katika Tamasha la Likizo Tym lifanyikalo karibu kila mwishoni mwa Mwaka.


Kumbe ile tabia ya mikono ya kushoto ya wasanii walio wengi kushika katika maeneo haya kuhu wakiwa wameinama kidogo hata akina dada wanayo jamani!? Ila hii nimeiona sana kwa wale wasanii wenye miondoko ya kughani/kufokafoka 'Rap/Hip Hop' na ni aghalabu sana kuwakuta wasanii wakuimba wakikamata maeneo hayo..
Naahidi kuweka picha zaidi za washika huko kwani inaonekana ni kama kaji-jadi flani hivi kwa upande wao!

Hamasisho la siku ya UKIMWI duniani


Katika katizakatiza zangu mitandaoni nimekumbana na picha hili linalosisitiza matumizi ya kondom katika kuhamasisha matumizi ya kifaa hicho, Picha hiyo ni maalum kwa ajili ya siku ya Ukimwi Duniani yaani kila tarehe 9 ya mwezi wa 12 wa kila mwaka.
Swali ni Je? Hicho kidole kilicho na pete si ni mahsusi kwa ajili ya wana ndoa si ndio? Sasa inamaana hao wanandoa hawatumii kivazi 'Kondom' na ndio wako salama zaidi?

Tuesday, December 9, 2008

Eve/Fat Joe ndani ya Likizo Tym

Hapa Fat Joe akiteta jambo na Eve mara tu walipokutana katika viunga vya hoteli ya Kilimanjaro Kempisk

Mwanamuziki nguli kutoka katika kundi la Terror Squad, Fat Joe, akihojiwa na baadhi ya waandishi wa habari kutoka Cloudz FM alipokuwa akiwasili ndani ya viwanja vya Kilimanjaro Hotel Kempisk, Fat na EVE wako nchini kwa ajili ya tamasha la Likizo Tym.

EVE akiongea na wanahabari pamoja na raia kadhaa walioalikwa katika pati ya Meet & Greet ndani ya Hotel ya Kilimanjaro Kempisk.

Sunday, November 30, 2008

Chadema na walia na kufungwa faili la Karamagi

WAKATI Ofisi ya Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP) imefunga faili la uchunguzi dhidi ya waziri wa zamani wa Nishati na Madini, Nazir Karamagi.

Habari kutoka kwenye ofisi ya DPP na Taasisi ya Kupambana na Kuzuia Rushwa (Takukuru) zinasema vielelezo vilivyowasilishwa havikuwa na nguvu za kumfikisha Karamagi mbele ya mkono wa sheria.

Kwa mujibu wa vyanzo hivyo, maoni ya ofisi ya DPP ni kwamba mbunge huyo wa Bukoba Vijijini alifuata ushauri wa watalaam kusaini mkataba huo, licha ya kwamba tarehe ambayo alipokea ushauri huo ndiyo aliyosafiri kwenda London, Uingereza kusaini mkataba huo.

Big Brother Africa III '08'


Shindano la Big Brother Africa III limemalizika usiku wa kuamkia leo huko Afrika Kusini ambapo kijana Ricardo David Ferreira Venancio a.k.a Ricco kutoka Angola, (21) ndio mshindi wa shindano la mwaka huu.
Tofauti na mashindano mengine, shindano la mwaka huu lilibidi liamuliwe kwa kutafuta asilimia ya jumla ya kura zote zilizopigwa mwaka huu baada ya Ricco kufungana na binti kutoka Malawi, Hazel(25)

Tuesday, November 25, 2008

Sakata la migomo Vyuo vikuu na Kauli ya Rais

Kauli ya Rais Jakaya Kikwete kuwa serikali yake haikubaliani na matakwa ya wanafunzi kudai wakopeshwe asilimia 100 ya gharama za masomo, imepokelewa kwa hisia tofauti na wanasiasa wakieleza kuwa kwa msimamo huo taifa linaelekea gizani na kwamba athari zake hazitakawia.

Serikali imefunga vyuo vyake saba kutokana na wanafunzi kugoma kuingia madarasani wakishinikiza sera ya uchangiaji elimu ibadilishwe na kama itaendelea, basi wanafunzi wakopeshwe kwa asilimia mia badala ya mpango wa sasa (means testing) ambao huchambua uwezo wa familia ya mwanafunzi na kuwapanga kwa makundi.

Vyuo vilivyofungwa ni Chuo Kikuu cha Dar es salaam (UDSM), Chuo Kikuu Kishiriki cha Ualimu (Duce), Chuo Kikuu cha Ushirika na Biashara (MUCCOBS), Chuo Kikuu cha Kilimo cha Sokoine, Chuo Kikuu Kishiriki cha Ardhi, Chuo Kikuu Kishiriki cha Elimu Mkwawa na Taasisi ya Teknolojia ya Dar es salaam (DIT).

Tembelea hapa

Mabadiliko ya awamu ya Nne

Serikali ya awamu ya nne, imeamua kuachana na magari iliyotumia kwa muda mrefu ya Marcedes Benz na sasa inatumia magari mengine ya kifahari ya BMW kwa ajili ya msafara wa rais.

Mercedes Benz, gari ya kifahari inayotengenezwa nchini Ujerumani, imekuwa ikitumiwa na serikali zote tatu zilizopita zilizoongozwa na Mwalimu Julius K. Nyerere, Ali Hassan Mwinyi na Benjamin Mkapa. Gari iliyotumika mwanzoni mara baada ya kupata uhuru ilikuwa Rolls Royce.

Lakini kwa sasa, msafara wa Rais unapambwa na magari matano ya BMW, mawili yakiwa ni X 5, ambayo ni mithili ya Toyota VX kwa ukubwa na matatu yakiwa Series Seven

Chini ni mifano ya gari hizo..

Hii ndio BMW Seven Series

BMW X 5

Friday, November 21, 2008

Katibu wa Vyuo Vikuu kizimbani

Katibu Mkuu wa chama cha wanafunzi wa vyuo vikuu nchini, Bw. Julius Mtatiro akiwa kizimbani kwa tuhuma zinazomkabili za kuhamasisha mgomo katika Chuo Kikuu Dar es Salaam, chama wanafunzi wa shuleni hapo 'DARUSO' kimenyetisha kuwa jamaa amewekewa dhamana mpaka kesi yake itakapotajwa tena Dec. 2 mwaka huu.

Soo la Juma Nature

Msanii wa muziki wa kizazi kipya, Juma Kassimu 'Nature' (28) anakabiliwa na shitaka la kubaka msichana aliye na umri wa miaka (16) kwa zamu. Akiwasomea mashitaka hayo mwendesha mashitaka wa mahakama ya wilaya ya Temeke Bw. Basall Pandisha alidai kuwa, mnamo Novemba mosi mwaka huu majira ya saa 1 jioni katika eneo maarufu lijulikanalo kama 'Sugar Rays' lililopo wilaya ya Temeke Jijini Dar es Salam, Nature na mwenzake aliyetambulika kwa jina la Godwin Malima (26) ambaye ni mwalimu, walimbaka kwa zamu msichana huyo mwenye umri wa chini ya miaka 18.

Aidha, mwendesha mashitaka huyo alidai kuwa shitaka la pili ni kwa mtuhumiwa wa pili Bw. Godwin ambalo ni kumtorosha msichana huyo na kwenda kuishi naye bila ridhaa ya wazazi wake.

Kesi hiyo inatarajiwa kusomwa tena mwanzoni mwa mwezi wa Desemba mwaka huu.

Baada ya Obama sasa ni Eric Holder

Vyombo mbambali vya habari nchini Marekani vimeripoti kuwa raisi mteule wa Marekani Bw. Barack Obama amempendekeza Bw. Eric Holder kuwa waziri wa ulinzi wa taifa hilo, Bw. huyo (Eric Holder) alikuwa makamu waziri wa ulinzi wakati wa kipindi cha Rais Bill Clinton, Na endapo atachaguliwa na kuapishwa na bunge la nchi hiyo, Eric Holder aliye na rekodi nzuri katika nyadhifa nyingi alizowahi kushikilia, atakuwa ndio m-marekani mweusi wa kwanza kuwa waziri wa Ulinzi wa Taifa hilo lililo na nguvu kubwa kiuchumi Duniani.

Monday, November 17, 2008

Mbinu za kuacha Uvutaji

Katika pitapita zangu mtandaoni nilibahatika kukutana hili nikaona si vibaya kama tutaliona pamoja..

HOW TO QUIT SMOKING?

1. Believe in itself. Believe, that you can throw. Recollect the most difficult things by which you did and realize, that you have will power and determination to stop to smoke. All depends on you.

2. After you reading this list, sit down and write, advanced according to your character traits and features. Create the own plan how to stop to smoke.

3. Commit to paper the reasons on which you wish to stop to smoke (advantages of a life without smoking): to live longer, to feel better, for the family, to save up money, to smell better, easier to find pair, etc. you know, that bad in smoking and that you we shall get having stopped. Write down all on a paper and read daily.

4. Ask the family and friends to support you in your decision to stop to smoke. Ask them about complete support and tolerance. Let them know in advance, that you, probably, will be irritable even irritating during parting with this bad habit.

5. Appoint a date closed of smoking. Solve, in what day you stops smoking with cigarettes for ever. Write down this date. Plan it{her}. Prepare the brain for « the first day of your new life ». You even can lead small ceremony in occasion of your last cigarette or morning of day of refusal of smoking.

6. Talk to your doctor in occasion of refusal to smoke. Support and an orientation received from the doctor - the checked up way to improve your chances of success.

7. Sports are simply incompatible with smoking. Exercises remove stress and help{assist} your body to be restored from harm put{rendered} by cigarettes. If it is necessary, begin gradually, with short walk of times or two in day. Finish it till 30-40 minute exercises 3 or 4 times a week. Consult to the doctor before will begin any exercises.

8. Do deep respiratory exercises every day for 3-5 minutes. Very slowly inhale through a nose, hold the breath for some seconds, very slowly exhale through a mouth. Try to do respiratory exercises blindly and pass to п.9

9. Clearly imagine, as you will cease to be the smoker. During respiratory exercises п.8 you can close eyes and imagine yourselves non-smoking. You should see yourselves enjoying exercises п.7. Present itself refusing from the offered cigarette. See, how you throw out all the cigarettes away and receiving for it a gold medal. Develop own creative representations. “Visualization” will work.

10. Reduce quantity of cigarettes gradually (if you reduce quantity of cigarettes, necessarily appoint{nominate} day of FINAL refusal of smoking). Ways of gradual refusal of smoking include: planning of quantity of smoked cigarettes on every day before the ending of smoking, reduction of quantity of smoked cigarettes every day, purchase of cigarettes in quantity of no more than one pack, replacement of mark that not so process of smoking liked. Give the cigarettes to somebody to another that you had to ask each time them when you want to smoke.

11. Try “to fasten” - to stop to smoke once and for all. Many smokers have checked up on themselves, that a unique way to leave cigarettes - to throw sharply and completely, without attempts to reduce quantity of smoked cigarettes. Nevertheless, find a method which will be the most suitable for you: to throw gradually or at once. If one of methods will not work - try another.

12. Find to itself the partner - other smoker who also wishes to stop to smoke. Encourage and assist each other, address to the friend when will feel that do not maintain. Come to us on the Forum or into a chat, there for certain there will be a help.

13. Carefully clean a teeth. Pay attention to how their condition quickly improves and as they grow white. Imagine and take pleasure from an idea on how they will look in a month, three or year.

14. After you have stopped to smoke, plan to note round dates on your way from smoking to non-smoking. In 2 weeks - descend at cinema. In a month - descend in good restaurant or in cafe (necessarily sit down in section for non-smoking!). In 3 months - lead days off in your favourite place. In 6 months - buy to itself something serious. In 1 year arrange to itself a party. Will invite the family and friends to “birthday” of the person which has got chance to live a long and healthy life.

15. Drink a lot of water. Water is good in any case and the majority of people do not drink it in enough. Water will help “to wash up” nicotine and other chemistry from an organism, besides it will help to remove bent for to cigarettes, answering on ” inquiries of a mouth “.

16. Realize, during what time you have a desire to smoke, for example: during stress, after meal, during arrival for work, etc. Try to avoid these situations and if it is impossible - find other models of behaviour during these moments.

17. Find something, that it is possible to hold in a hand and in a mouth what to replace with it cigarettes. Try to use tubes for drink, can as to try substitutes of cigarettes named ” E-Z Quit ”. The additional information can be found here.

18. Write a good song or a verse on a theme « I Stop to smoke », about cigarettes, and that for you means to leave tobacco. Read it every day.

19. Carry with itself a photo of the family or the one who to you of roads. Write on a sheet of a paper: ” I throw for myself and for you (you) ” and attach it to a photo. When you will have a desire to smoke, look at a photo and read an inscription.

20. Each time when you have a desire to smoke, instead of what to smoke write down the feelings or everything, that at you on mind. Carry this sheet always with itself.

21. Use the specialized medical products preventing bent for to nicotine, for example Nirdosh, Wellbutrin SR, Zyban, Zero Nicotine, Nicotinell.

Visit: http://professionalmedicines.com

We wish good luck in your aspiration to stop to smoke. It is that costs!

Kwaherini.