Friday, December 12, 2008

TID kubadili Jina..

Msanii nguli wa muziki wa kizazi kipya hapa Tanzania, Khaleed Mohamed 'Top In Dar' a.k.a TID amechukua uamuzi huu baada ya kutoka gerezani katikati ya wiki hii kutokana na msamaha wa Rais JK, Kwa sasa msanii huyo ataanza kutambulika kwa jina la Prison Voices.
Pichani juu ni TID akiwa katika moja ya matamasha yake aliyowahi kufanya akiwa nje ya nchi..
I wish U all the Best Home boy..

No comments: