
Katika katizakatiza zangu mitandaoni nimekumbana na picha hili linalosisitiza matumizi ya kondom katika kuhamasisha matumizi ya kifaa hicho, Picha hiyo ni maalum kwa ajili ya siku ya Ukimwi Duniani yaani kila tarehe 9 ya mwezi wa 12 wa kila mwaka.
Swali ni Je? Hicho kidole kilicho na pete si ni mahsusi kwa ajili ya wana ndoa si ndio? Sasa inamaana hao wanandoa hawatumii kivazi 'Kondom' na ndio wako salama zaidi?
No comments:
Post a Comment